sw_tn/psa/035/009.md

532 B

katika wokovu wake

Nomino dhahania "wokovu" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "kwa kuwa umeniokoa"

Mifupa yangu yote

Hapa "mifupa" inamaanisha undani zaidi wa mtu. "Undani wangu wote"

Yahwe, ni nani aliye kama wewe ... wale wanao jaribu kuwaibia?

Jibu linalodokezwa kwa hili swali ni kwamba hakuna aliye kama Yahwe. "Yahwe, hakuna aliye kama wewe ... wale wanaojaribu kuwaibia"

maskini na wahitaji

Maneno "maskini" na "wahitaji" yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa Yahwe anawaokoa wengi wanaohitaji msaada wake.