sw_tn/psa/034/001.md

621 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Zaburi ya Daudi

Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.

kujifanya kuwa mwenye wazimu

"kuigiza kama mtu chizi"

mbele ya Abimeleki

Hii inamaanisha tukio bayana la kihistoria ambalo Wahebrania wanafahamu vizuri. "alipokuwa katika nyumba ya Abimeleki" au "alipokuwa mfungwa wa Abimeleki"

mfukuza

"mwondoa kwa nguvu"

sifa yake daima itakuwa mdomoni mwangu

Hapa "mdomoni mwangu" inamaanisha Daudi kumzungumzia Mungu. "daima nitamsifu kwa sauti"