sw_tn/psa/033/001.md

289 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Furahi katika Yahwe

Hapa "katika Yahwe" inamaanisha kile ambacho Yahwe aliwatendea. "Furahini kwa sababu ya kile ambacho amefanya Yahwe"

kusifu kunawafaa wanyofu

"kumsifu Yahwe kunafaa kwa watu walio wanyofu"