sw_tn/psa/032/011.md

369 B

Furahi katika Yahwe

Hapa "katika Yahwe" inamaanisha kile ambacho Yahwe aliwatendea. "Uwe na furaha kwa sababu ya kile ambacho amefanya Yahwe"

wenye haki

Hii inamaanisha watu. "watu wako watakatifu"

piga kelele ya furaha

"piga kelele kwa furaha" au "piga kelele kwa sababu ya furaha"

walio wanyofu moyoni

Hapa "moyo" inamaanisha mtu. "watu walio wanyofu"