forked from WA-Catalog/sw_tn
369 B
369 B
Furahi katika Yahwe
Hapa "katika Yahwe" inamaanisha kile ambacho Yahwe aliwatendea. "Uwe na furaha kwa sababu ya kile ambacho amefanya Yahwe"
wenye haki
Hii inamaanisha watu. "watu wako watakatifu"
piga kelele ya furaha
"piga kelele kwa furaha" au "piga kelele kwa sababu ya furaha"
walio wanyofu moyoni
Hapa "moyo" inamaanisha mtu. "watu walio wanyofu"