sw_tn/psa/031/017.md

700 B

Usiniache niaibike

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Usiwaache wengine wanifanye nijisikie aibu"

Na waovu waaibike!

"Natamani kwamba Mungu awaaibishe watu waovu!"

waovu

Hii inamaanisha watu waovu.

Na wawe kimya kuzimu. Midomo ya uongo inyamazishwe

Wazo hili linarudiwa kusisitiza hamu ya mwandishi kwamba sauti za waovu hazisikiwi.

Na wawe kimya kuzimu

Hapa "kuzimu" inawakilisha kifo. "Acha wafe ili wasiweze kuzungumza"

Midomo ya uongo

Hii inawakilisha watu waongo. "watu wanaodanganya"

inayozungumza dhidi ya wenye haki kwa ujasiri

"wanaosema mambo mabaya kuhusu watu wenye haki"

kwa dharau na kubeza

Maneno haya yana maana ya kufanana. "na dharau sana"