forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
352 B
Markdown
8 lines
352 B
Markdown
# urithi wako
|
|
|
|
Hii inazungumzia watu wa Mungu kana kwamba walikuwa kitu ambacho Mungu alirithi. "mali yako" au "wale walio wako"
|
|
|
|
# Uwe mchungaji wao na uwabebe milele
|
|
|
|
Mwandishi anazungumza kumhusu Yahwe kana kwamba ni mchungaji na watu ni kondoo wake. Mchungaji humbeba kondoo kama anahitaji msaada au ulinzi. "Uwe kama mchungaji na uwalinde milele"
|