sw_tn/psa/025/020.md

585 B

usiniache niaibike

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Usiwaache adui zangu waniaibishe"

ninakukimbilia wewe!

Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. "kwenda kwako kwa ajili ya ulinzi!"

Na uadilifu na unyofu unihifadhi

Hii inazungumzia "uadilifu" na "unyofu" kana kwamba ni watu wanaoweza kumweka mtu mwingine salama. Nomino dhahania hizi zinaweza kuelezwa kama vivumishi. "Na kuwa mwaminifu na kufanya kilicho sawa kilihifadhi" au "Nihifadhi, Bwana, kwa kuwa mimi ni mwaminifu na hufanya kilicho sawa"

unihifadhi

"uniweke salama"