sw_tn/psa/024/003.md

888 B

Nani ataupanda mlima ... katika sehemu yake takatifu?

Maswali yote haya mawili ya maana moja. Mwandishi anauliza kuhusu nani anayefaa kwenda kumwabudu Yahwe.

kupanda

"kwenda juu"

mlima wa Yahwe

Hii inamaanisha mlima Sayuni ndani ya Yerusalemu

sehemu yake takatifu

Hii inamaanisha hekalu la Yahwe. Hekalu lake liko katika mlima Sayuni ulioko Yerusalemu.

Yeye aliye ...aliye ... na haja...

Hapa haimzungumzii mtu bayana. "Wale ambao ...walio ... na hawaja..."

aliye na mikono safi

Neno "mikono" inawakilisha kile ambacho mtu anafanya. Kwa "mikono" kuwa safi inamaanisha anafanya kilicho sawa. "anafanya kilicho sawa"

moyo safi

Hapa "moyo" inamaanisha mawazo au nia ya mtu. "anawaza mawazo mazuri" au "hawazi kuhusu yaliyo mabaya"

ambaye hajainua juu uongo

Hapa "uongo" inawakilisha sanamu ya uongo. "Kuinua juu" inamaanisha kuabudu. "ambaye hajaabudu sanamu"