forked from WA-Catalog/sw_tn
839 B
839 B
Kwa kuwa ufalme ni wa Yahwe
Hapa "ufalme" unaashiria utawala wa Mungu kama mfalme. "Kwa kuwa Yahwe ni mfalme"
yeye ni mtawala juu ya mataifa
Hapa "mataifa" yanaashiria watu wa mataifa. "anawatawala watu wa mataifa"
wata kuwa na karamu
Watu watakula pamoja kwenye karamu. "watakula pamoja" au "watakula chakula cha sherehe pamoja"
wale wote wanaoenda chini kwenye vumbi ... wale ambao hawawezi kuhifadhi maisha yao wenyewe
Misemo hii miwili inaashiria kundi moja. Zote zinamaanisha watu wote kwa kuwa watu wote watakufa.
wale wote wanaoshuka kwenye vumbi
Hapa "vumbi" linamaanisha kaburi. Msemo "wanaoshuka kwenye vumbi" ni njia ya kusema mtu anakufa. "wale wanaokufa" au "wale waliokufa"
wale ambao hawawezi kuhifadhi maisha yao wenyewe
"wale ambao hawawezi kuokoa maisha yao" au "wale ambao hawawezi kujizuia kufa"