sw_tn/psa/018/016.md

248 B

Akafika chini ... akanishika ...Akanivuta

Anayezungumziwa hapa ni Yahwe.

maji yaliyokuwa yakienda mbele

Hapa mwandishi wa zaburi anazungumzia hatari ya adui zake kana kwamba walikuwa mawimbi makubwa au maji ya nguvu, ambapo Yahwe alimwokoa.