sw_tn/psa/018/011.md

318 B

Akafanya giza ... yeye

Hapa neno "yeye" linamaanisha Yahwe

Akafanya giza hema

Hapa giza linazungumziwa kana kwamba ni hema. "Akafanya giza kitu cha kufunikia" au "Akafanya giza sehemu ya kujifichia"

mawingu mazito ya mvua

"mawingu na mvua kubwa" au "mawingu manene, meusi"

Mvua ya mawe

"mawe ya barafu"