sw_tn/psa/018/006.md

399 B

Katika huzuni yangu

"katika hitaji langu kubwa" au "katika kukata tamaa kwangu"

kilio changu kikaenda katika uwepo wake

Hapa Daudi anazungumzia "kilio" chake kana kwamba ni mtu anayeweza kuja katika uwepo wa Yahwe. "Nikamuomba"

kikaenda katika maskio yake

Hapa Daudi anazungumzia jinsi Yahwe alivyosikia kilio chake cha msaada. Wazo linarudiwa kwa ajili ya mkazo. "akasikia maombi yangu"