sw_tn/psa/016/005.md

750 B

sehemu yangu niliyochagua

Hapa Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa ni sehemu ya nchi ambayo alipewa.

kikombe changu

Hapa Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa ni kikombe chenye baraka nyingi. "ambaye hunibariki"

Unashikilia hatima yangu

"Unaamua siku zangu za usoni"

Kamba za kupima ... katika sehemu nzuri

Baraka za Mungu kwa Daudi zinazungumziwa kana kwamba ni sehemu ya nchi iliyochunguzwa kwa jili yake kumiliki. "Kamba za kupima" zinaashiria kamba za mchunguzi wa ardhi. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Sehemu uliyonipa inapendeza"

hakika urithi wa kupendeza ni wangu

Hapa Daudi anazungumzia baraka za Yahwe kana kwamba zilikuwa ni urithi ambao alipokea. "Nimefurahi kwa vitu vyote alivyonipa"