sw_tn/psa/015/004.md

378 B

Mtu asiyefaa ni chukizo machoni pake, lakini anawaheshimu wale wanaomcha Yahwe

"Watu wenye haki wanachukia wale waliomkataa Mungu, lakini wanawaheshimu wale wanaomheshimu Mungu"

Mtu asiyefaa

"Mtu mwovu" au"Mtu aliyemkataa Yahwe"

hatatikisika

Hapa "kutikisika" kunaashiria kutokuishi kwa usalama tena. Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "wataishi katia usalama"