sw_tn/psa/014/002.md

353 B

watoto wa wanadamu

Msemo huu unamaanisha wanadamu wote.

wanaonitafuta

Hii inafafanua wote wanaotamani kumjua Mungu kana kwamba walikuwa wanamfuata kabisa kwenye njia. "wanaotamani kumjua"

Wote wamegeuka

Hii inaelezea watu waliomkataa Mungu kana kwamba waliacha kutembea kwenye njia sahihi na wameenda upande mwingine. "Wote wamemgeuka Yahwe"