sw_tn/psa/010/001.md

542 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Kwa nini, Yahwe, unasimama mbali? Kwa nini unajificha nyakati za taabu?

Mwandishi anatumia maswali haya kuonesha huzuni yake kuwa Mungu hajamsaidia. "Yahwe, inaonekana kana kwamba uko mbali na mimi na unajificha kwangu kila ninapokuwa kwenye

njama

"mipango"

mtu mwovu

Hii inamaanisha watu waovu kwa ujumla. "watu waovu"

tamaa yake ya nafsi

Nomino "tamaa" inaweza kuelezwa na kitenzi "kutaka." "vitu anavyotaka sana kufanya"

walafi

"watu wenye tamaa"