sw_tn/psa/009/017.md

620 B

wanageuzwa

"wanakataliwa"

hatima ya mataifa yote yanayomsahau Mungu

"pale ambapo mataifa yote yanayomsahau Mungu yatakapokuwa"

Kwa kuwa wahitaji hawatasahauliwa daima

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu hatawasahau wahitaji daima" au "Mungu atawakumbuka wahitaji"

wala matumaina ya waliokandamizwa kufutwa

Matumaini yanazungumziwa kana kwamba ni vitu vinavyoweza kuvunjika au kuharibika. Matumaini kuangamizwa inaashiria mambo ambayo watu wanatumaini kutokutokea. "na wanaokandamizwa hawatatumaini milele bila kuona matokeo" au "na siku moja kile wanaokandamizwa wanachotumaini kitatokea"