sw_tn/psa/007/012.md

348 B

Mungu atanoa upanga wake na kuandaa upinde wake kwa ajili ya mapambano

Katika mistari ya 12 na 13, Daudi anazungumzia juu ya Mungu kuamua kuwaadhibu waovu kana kwamba Mungu ni mpambanaji anayejianda kupigana dhidi yao kwa silaha. "Mungu atachukua hatua juu yao kama mpambanaji anaye noa upanga wake na kuanda upinde wake kwa ajili ya mapambano"