sw_tn/psa/005/009.md

1.0 KiB

Taarifa ya Jumla:

Daudi anawazungumzia adui zake

Kwa kuwa hakuna ukweli midomoni mwao

Ukweli kuwa midomoni mwao inamaanisha kuongea ukweli. "Kwa kuwa huwa hawasemi ya kweli"

utu wao wa ndani ni uovu

Utu wao wa ndani inamaanisha mawazo ya watu na tamaa zao. "mawazo yao na tamaa ni mbaya"

koo yao

Koo inaashiria maneno ya watu. "maneno yao" au "kile wanchosema"

koo yao ni kaburi lililo wazi

Koo yao inazungumziwa kana kwamba ni kaburi lililo wazi, tayari kwa ajili ya maiti kuwekwamo. Maana zinazowezekana ni 1) "wanasema watawaua watu" au 2) "Wanachosema huua watu"

wanijipendekeza na ulimi wao

"wanasema vitu vizuri kuhusu watu wengine bila kumaanisha"

ulimi wao

Ulimi unaashiria kile wanachosema watu.

njama zao ziwe anguko lao

"njama zao ziwasababishe kupitia maafa" au "wapunguze umuhimu wao kwa sababu ya njama zao"

njama

mipango ya kuwadhuru watu

anguko

Hili ni jambo linalowafanya watu kupitia maafa na kupoteza nguvu. Kupitia maafa au kupoteza umuhimu inazungumziwa kama kuangaku.