sw_tn/psa/005/004.md

288 B

Yahwe anawachuki watu wenye vurugu na waongo

Kwa kuwa Daudi anazungumza na Mungu katika zaburi hii, sentensi hii inaweza kuelezwa na neno "wewe." "Yahwe, wewe unawachukia watu wenye vurugu na waongo" au "Yahwe, wewe unachukia watu wanaofanya matendo ya vurugu na kuwadanganya wengine"