sw_tn/psa/002/006.md

680 B

Mimi mwenyewe

Yahwe anasisitiza kuwa yeye, na sio mtu mwingine, ndiye aliyemtia mafuta mfalme wake.

mtia mafuta mfalme wangu

"kumchagua mfalme wangu kutawala"

Nitatangaza amri ya Yahwe

Mtu anayesema haya ni mfalme. Hii inaweza kuelezwa vizuri. "Mfalme anasema, 'Nitatangaza amri ya Yahwe'"

Akaniambia

"Yahwe akaniambia"

Wewe ni mwanangu! Siku hii nimekuwa baba yako

Kati ya watu wengi katika sehemu hiyo ya dunia kipindi hicho, wanaume waliweza kuamua kupanga watoto kisheria, ambao watakuwa warithi wao. Hapa Yahwe anamtwaa mwanamme na kumfanya kuwa mfalme wa Israeli. "Nitakufanya mwanangu. Siku hii nimekuwa baba yako" au "Sasa u mwanangu na mimi baba yako"