sw_tn/psa/001/006.md

540 B

Kwa kuwa Yahwe anakubali njia ya watakatifu, bali njia ya waovu itapotea

Vishazi hivi viwili vinaonesha tofauti kwa yale yanayowatokea watu watakatifu na yale yanayowatokea watu waovu.

njia ya mwenye haki

Jinsi watu wanavyoishi inazungumziwa kama vile ni "njia" au "barabara" ambayo walikuwa wakitembea. "jinsi wenye haki wanavyoishi"

njia ya waovu itapotea

Hapa "njia" inamaanisha waovu, ambao kimafumbo wanatembea katika hiyo njia. "Waovu wataangamia kwa sababu ya njia yao" au "waovu watakufa kwa sababu ya jinsi wanavyoishi"