sw_tn/pro/29/13.md

201 B

mdhalimu

mtu ambaye huwatendea watu ukatili na kuyafanya maisha yao kuwa magumu

Yahwe huyatia nuru macho yao wote

Hii ni nahau "Yahwe huwapa uzima watu "

kiti chake cha enzi

"ufalme wake"