forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
710 B
Markdown
20 lines
710 B
Markdown
# kama maji ya baridi kwa mwenye kiu, ndivyo ilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali
|
|
|
|
maji ya baridi yanafananishwa na habari njema maana vyote huburudisha na kufurahisha
|
|
|
|
# kama chemchemi iliyochafuka au bomba lililoharibiwa ndivyo alivyo mtu mwenye haki apepesukapo mbele ya watu waovu
|
|
|
|
mtu anatarajia kupata maji safi kwenye chemchemi au bomba, ndivyo mwenye haki anapaswa kusimama kwa kile anachokiamini. Hivyo chemchemi au bomba lililoharibika ni kama mwenye haki anayeanguka.
|
|
|
|
# apepesukapo mbele ya watu waovu
|
|
|
|
1) kukataa kupambana na watu waovu 2)kujiunga na uovu wao
|
|
|
|
# apepesukapo
|
|
|
|
"kushindwa kusimama"
|
|
|
|
# mbele ya waovu
|
|
|
|
"watu waovu wanapomshambulia" au "watu waovu wanapomshawishi kutenda maovu"
|