sw_tn/pro/21/27.md

241 B

dhabihu ya mwovu ni chukizo

Yahwe huichukia dhabihu ya mwovu.

mwovu

"mtu mwovu" au "watu waovu"

hata ni chukizo zaidi

"Yahwe huichukia zaidi dhabihu"

atasema kwa wakati wote

hii ni kwa sababu watu hawatasahau ambacho amesema