forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
515 B
Markdown
32 lines
515 B
Markdown
# mwenye dhihaka anapoadhibiwa
|
|
|
|
" mtu anapomwadhibu mwenye dhihaka"
|
|
|
|
# mjinga
|
|
|
|
"bila uzoefu, asiye mkomavu, bado na hali ya uchanga"
|
|
|
|
# mwenye dhihaka
|
|
|
|
"mtu anayewadhihaki wengine"
|
|
|
|
# mwenye busara anapofundishwa
|
|
|
|
"mtu anapomfundisha mwenye busara"
|
|
|
|
# hushika maarifa
|
|
|
|
maarifa yanaongelewa kama ni kifaa ambacho mtu kukisha na kuhifadhi kwa ajili yake.
|
|
|
|
# mwenye haki
|
|
|
|
"mtu wa haki yeyote" au "Yahwe ambaye ni mwenye haki"
|
|
|
|
# huangalia
|
|
|
|
" tafakari kwa makini"
|
|
|
|
# watu waovu huleta kwenye maangamizi
|
|
|
|
"huwaangamiza"
|