sw_tn/pro/21/05.md

249 B

bidii

"mtu mwenye bidii" au "mtu ambaye hufanya kazi kwa bidii"

huja katika umaskini

"huwa maskini"

kujipatia utajiri

"kupata utajiri "

mvuke upitao upesi

"umende unaotoweka"

na mtego ambao huua

ambao huvutia wanyama kwenye mtego