sw_tn/pro/17/15.md

415 B

Yule ambaye humwacha huru mtu mwovu na mtu ambaye humlaumu mtu mwenye haki

" Yule ambaye huwaacha huru watu waovu na yule ambaye huwalaumu mwenye haki"

humwacha huru

halalisha, tangaza mtu kuwa hana hatia

kwa nini mpumbavu yapasa alipe pesa kujifunza juu ya hekima, wakati hana uwezo wa kujifunza juu yake?

"mpumbavu hapaswi kulipa pesa kujifunza juu ya hekima kwa sababu hana uwezo kujifunza juu yake"