sw_tn/pro/17/13.md

258 B

ubaya hautaondoka katika nyumba yake

"mambo mabaya hayatakoma kutokea kwake na familia yake"

mwanzo wa faraka ni kama mtu ambaye humwaga maji kila mahali

"kuanzisha ugomvi ni kama kusukuma maji na na kuruhusu yaende kila mahali"

kupasuka

"kuanza"