sw_tn/pro/16/31.md

206 B

mvi ni taji ya utukufu

"mtu aliyeishi muda mrefu wa kutosha kupta mvi ni kama yule anayevaa taji kichwani pake"

ni faida

"mtu hupata faida"

anayetawala roho yake

"yule anayetawala hasira yake"