sw_tn/pro/15/05.md

203 B

yeye ambaye hujifunza kutokana na sahihisho

"yeye ambaye hujifunza wakati wa kusahihishwa na mtu mwingine"

busara

"werevu"

mapato ya mtu mwovu humpa

"utajiri ambao mtu mwovu hujipatia humpa"