sw_tn/pro/12/27.md

8 lines
194 B
Markdown

# hawawezi kuoka mawindo yao wenyewe
"mawindo" maana yake ni wanyama waliokamatwa au kuuliwa wakati wa kuwinda. "kuoka" ni namna ya kupika chakula
# utajiri wa thamani
"hazina yenye thamani"