forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
511 B
Markdown
20 lines
511 B
Markdown
# Sasa
|
|
|
|
Hii ni kuleta usikivu kwa wana wa msemaji anapohitimisha funzo hili
|
|
|
|
# Nisikilizeni
|
|
|
|
Hekima anaendelea kuongea juu yake mwenyewe
|
|
|
|
# wale wanaozifuta njia zangu
|
|
|
|
"wale wanaofanya kile ninachofundisha"
|
|
|
|
# usiziache
|
|
|
|
"hakikisha unazifuata"
|
|
|
|
# ataangalia kila siku kwenye milango yangu, akisubiri pembeni ya nguzo za milango yangu
|
|
|
|
"mtu mwenye busara husubira nje ya nyumba ya hekima wakati wa asubuhi ili ampe huduma" au "mtu mwenye busara husubira nje ya nyumba ya hekima ili hekima aje na kumfundisha"
|