sw_tn/php/03/17.md

1.7 KiB

Niigeni mimi

"Fanya yale ninayofanya"au ishi kama ninavyoishi.

ndugu

neno hili humaanisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni.

wale wanaotembea kwa mfano wetu

"wale wanaoishi kama ninavyoishi au wale tayari wanafanya yale niyafanyayo"

wengi wanaishi... kama maadui wa msalaba wa Kristo

Haya maneno ni wazo kuu la Paulo katika mstari huu.

Wengi wanatembea

"Wengi wanaishi"

wale ambao mara nyingi nimewaambieni , na sasa na nawaambia kwa machozi

Paulo anaingilia/anadakia wazo lake kuu kwenye haya maneno ambayo yanaeleza "nyingi."

Nimewaambia mara nyingi

"Nimewaambia mara nyingi"

ninawaambia kwa machozi

"ninawaambia kwa huzuni kubwa"

kama maadui wa msalaba wa Kristo

Hapa "msalaba wa Kristo" inarejea kwa mteso ya Kristo na kifo" Maadui ni wale wasemao wanamwamini Yesu lakini hawako tayari kuteseka au kufa kama Yesu alivyofanya.

Mwisho wao ni uharibifu

"Siku moja Mungu atawaharibu"

miungu wao ni tumbo

Hapa "tumbo" hurejea kwa matamanio ya furaha ionekanayo. Kuita miunga yao inamaana kwamba wanataka heshima ya kuonekana zaidi kulikuwa wanavyotakiwa kumtii Mungu. "wanatamani chakula na heshima nyingine zaidi kuliko kutamani kumtii Mungu"

kiburi chao kipo katika aibu yao

Hapa "aibu" inasimama badala ya matendo ambayo watu wangetakiwa kuonea aibu lakini hawafanyi hivyo. "wanajivunia vitu ambavyo vitawasababishia aibu"

Wakifikiria mambo ya kidunia

Hapa "kidunia" inarejea kila kitu ambacho kitoacho heshima ya kuonekana na hawamheshimu Mungu "Yate wafikiriavyo ni kile kiwapocho heshima wao kuliko kitakacho mpa heshima Mungu"