sw_tn/php/02/19.md

604 B

Sentensi unganishi

Paulo anawaambia waumini wa Filipi kuhusu hili wazo la kumtuma Timotheo baada ya mda mfupi na watamtumia Epafradito kama mtu maalumu

Lakini natumaini katika Bwana Yesu

"Lakini, kama Bwana Yesu atapenda, natumaini"

Kwa kuwa sina mwingine aliye na mtazamo kama mimi

"Hakuna mwingine hapa awapendaye kama yeye awapendavyo"

Wengine wote ambao

Hapa memo "wengine" linarejea kwenye kundi la watu Paulo hawezi kusikia anaweza kuwaamini kuwatuma kwa Wafilipi. Pia Paulo anaeleza kuvunjwa moyo na kundi, ambao wangeweza kuondoka, lakini Paulo hawaamini kuhitimisha makusudi yao.