sw_tn/php/02/17.md

685 B

Lakini hata kama ninamiminwa kama sadaka juu ya dhabihu na huduma ya imani yenu, ninafurahi, na ninafurahi pamoja nanyi nyote

Paulo anazungumzia kifo chake kana kwamba kilikuwa ni kifo cha kuteketeza mnyama ambayo mafuta yalimiminwa. Kile Paulo alimaanisha ni kwamba alikuwa tayari kufa kwa ajili ya Wafilipi kama hiyo ingewafanya wamheshimu Mungu. Pia, hii inaweza kuonyesha katika muundo kamili. "Lakini, hata kama Warumi waliamua kunibagua, nitafurahi katika kifo changu kama kifo changu kitafanya imani yenu na utii zaidi kwa kumheshimu Mungu"

vilevile ninyi pia mnafurahi pamoja nami

Maelezo haya mawili kwa pamoja ni alama ya hiyo furaha. " "ninataka mfurahi pamoja nami"