sw_tn/php/02/14.md

1.3 KiB

manung'uniko na uaminifu

Paulo anaeleza wazo moja kutumia maneno ya hasi na chanya. "bila kosa kabisa"

watoto wa Mungu bila lawama

"watoto wa mungu bila kubadilika" au mtoto wa Mungu mkamilifu"

kung'aa kama mwanga

Hapa Paulo anawazungumzia waamini kana kwamba walikuwa mwanga waking'aa gizani, kuwasaidia wengine kutafuta njia ya kumheshimu Mungu. " ishi katika nija ya kumheshimu Mungu"

katika dunia

Hapa "dunia" inarejea kila kitu na tabia ambacho hakimwabudu Mungu

uasi na uovu

haya maneno mawili kimsingi ni kitu kimoja. Paulo anayatumia kusisitiza jinsi kizazi kilivyo kiovu. "kiuvo kabisa"

Shikeni sana neno la uzima

Paulo hapa anazungumzia neno la Mungu kanakwamba lilikuwa kitu ambacho kingeweza kushikika.

kutukuza

"kufurahia" au "kuna na furaha"

katika siku ya Kristo

hii inarejea wakati Yesu atakaporudi kuchukua himaya yake na kutawala dunia nzima. "wakati Yesu atakapokuaja"

sikupiga mbio bure wala sikutaabika

Msisitizo "kupiga mbio bure" na "kutaabika bure" hapa inamaanisha kitu kimoja. Paulo ameyatumia haya maneno yote kusisitiza vile alivyofanya kwa bidii kuwasaidia watu kumwamini Yesu. "sikufanya kazi kwa nguvu bila kitu"

mbio

mara chache maandiko yamezungumza kama mwenendo wa kila mmoja. kupiga mbio ni kuishi maisha yanayoshadidiana.