sw_tn/php/02/05.md

935 B

Muwe na nia moja kama aliyokuwa nayo Kristo

"Kuwa na nia moja ambayo Kristo Yesu alikuwa nayo" au "fikirieni vile ambavyo Kristo Yesu alivyofanya"

hakujali kuwa sawa na Mungu kuwa kitu cha kushikamana nacho

hapa Paulo anazungumzia usawa na Mungu Baba kana kwamba kulikuwa na kitu ambacho Kristo angeweza kushikilia kwenye mikono yake.

alijishusha mwenyewe

Paulo anamzungumzia Kristo kana kwamba alikuwa kitu cha kubebea ili kusema kwamba Kristo alikataa kutenda katika nguvu ya uungu wake katika kipindi huduma yake duniani

Alijitokeza katika mfano wa mwanadamu. Alinyenyekea

"Maneno "alijitokeza...kama" ni lahaja ya "kuwa." "Kuwa mwanadamu, alinyenyekea"

kuwa mtumwa hadi kifo

Paulo hapa anazungumzia kifo katika njia ya umbo. Anayetafsiri naweza kuielewa aidha kama mfano wa eneo (Kristo alipitia kifo) au kama mfano wa mda (Kristo alitii hata mpaka wakati alipokufa).

kifo cha msalaba

"kufa kwenye msalaba"