sw_tn/php/02/03.md

248 B

Msifanye kwa majivuno au majivuno

"Usijihudumie mwenyewe au kujiona ni bora kuliko wengine"

Kila mmoja asiangalie mahitaji yake mwenyewe, bali pia ajali mahitaji ya wengine

"usiangalia tu kile unachohitaji, bali nini wengine wanahitaji pia"