sw_tn/php/01/20.md

1.1 KiB

matarajio yangu ya uhakika na kweli

"hapa maneno " matarajio ya hakika" na "matarajio ya Kweli" yanamaanisha kimsingi jambo lile lile tu. Paulo anayatumia kwa pamoja ili kutilia mkazo kuonesha matarjio ya dhati aliyonayo. "Ninashawishika kwa dhati"

kwa ujasiri wote, kama ambavyo siku zote na sasa, Kristo atainuliwa"

Hii ni sehemu ya matarajio na matumaini ya Paulo. "lakini natarajia na kutumaini kwamba katika ujasiri wote, sasa kama siku zote, Kristo atainuliwa"

"katika ujasiri wote, sasa na siku zote"

"nitakuwa na ujasiri mkubwa sasa, kama siku zote nilivokuwa na"

Kristo atainuliwa kwenye mwili wangu wangu

kifungu hiki cha neno "mwili wangu" ni neno linalosimama badala vile Paulo amefanya kwenye mwili wake. Hii inaweza kuanza muundo tendaji. Yawezekana maana zikawa 1) "Nitamtukuza Kristo kwa kile nifanyacho" 2) "watu watamsifu Kristo kwa sababu ya kile nifanyacho"

Ikiwa ni kwa uzima au kwa kifo

"kama nitaendelea kuishi au nikifa"

Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo na kufa ni faida"

"Kwa maana kama nikiendelea kuishi, nitaishi kumtukuza Kristo, na kama nikifa, hiyo itakuwa nzuri.