sw_tn/php/01/18.md

1.1 KiB

ni nini hii?

Paulo anatumia hili swali kuwaambia vile asikiavyo kuhusus hali aliyoandika katika 1:15. maana zaweza kuwa "haijalishi" neno "nitafikiria kuhusu hii" ilieleweka kama sehemu ya swali. "nitajali kuhusu nini?" au "Hivi ndivyo ninavyofikiri kuhusu hii"

katika njia yoyote ile, katika kusudi baya au zuri, Kristo anahubiriwa

"kwa kuwa watu wanamhubiri Kristo, hakuna shida, kama wanafanya hivyo kwa makusudi mazuri au kwa makusudi mabaya"

ninafurahia jambo hilo

"Nina furaha kwasababu watu wanamhubiri Kristo"

nitafurahia

"Nitasherekea" au "nitashangilia"

hili litaleta kufunguliwa kwangu

"kwa sababu watu wanamuhubiri Kristo, Mungu atanitoa kifungoni/ gerezani"

katika kufunguliwa kwangu

maana halisi ya "kufunguliwa," ni nini Mungu atamfungua Paulo kutoka, haiko wazi. maana hizi zinawezekana 1) Paulo alikuwa anarejea kusaidiwa kutoka katika katika hali mbya au 2) Paulo alikuwa narejea wazi wazi kuwa huru mbali na kifungo.

kupitia maombi yenu na msaada wa Roho wa Kristo Yesu

"kwa sababu mnaomba na Roho wa Yesu Kristo inanisaidia"

Roho wa Yesu Kristo

"Roho Mtakatifu"