sw_tn/php/01/09.md

1.5 KiB

sentensi unganishi

Paulo anawaombea wakristo wa Filipi na kuzungumzia juu ya furaha iliyo katika mateso kwa ajili ya Bwana.

Paulo anazungumzia upendo kana kwamba kulikuwa na upinzani watu wangeweza kupata zaidi. iongezeke"

Katika maarifa na ufahamu wote

Hapa "ufahamu" maana yake ni Mungu kuweza kuwa wazi. "kama ujifunzvyo na kufahamu zaidi kuhusu nini ambacho kinamtukuza Mungu"

"kwa jinsi "mnavyojifunza na kufahamu kwa uwazi mambo yanayompendeza Mungu. "

Thibitisha

Hii hurejea kupima vitu na kuchukua vile ambavyo ni vizuri. "pima na chunguza"

mambo yenye adili

"kile kinachompendeza Mungu zaidi"

muwe safi pasipokuwa na hatia

Maneno" safi" na " kutokuwa na hatia"kimsingi yanabeba maana ile ile. Paulo anayatumia kwa pamoja ili kukazia usafi wa rohoni. "hali ya kutokuwa na lawama"

Ninyi pia mtajazwa

Paulo anazungumzia waamini kana kwamba walikuwa chombo cha kuwekea kitu amabacho kinaweza kujazwa na matunda. "Ili pia kwamba Yesu Kristo awasababishe kumtii Mungu zaidi na zaidi"

mjazwe na tunda la haki itokayo

Matendo mazuri ya mwamini ambaye Mungu aliyaweka wazi vizuri humfurahisha Mungu kama ambavyo tunda kukua kwenye ni mtamu kwa wale walao. "kuweza kumfurahisha Mungu na watu wengine kwa njia unayoishi sasa kwamba Mungu alikusamehe dhambi zako"

kwa utukufu na sifa ya Mungu

Maana ziwezekanazo ni 1) "Ndipo watamsifu na kumpa Mungu heshima kubwa 2)n"Ndipo watu watamsifu Mungu na kumpa Mungu heshima kubwa kwa sababu ya mambo mazuri waonayo ufanayayo." Hizi tafsiri ya mmoja mmoja inaweza kufanya kuhitajike sentensi mpya.