sw_tn/php/01/01.md

763 B

Sentensi unganishi

Mwandishi anatoa salamu kwa watu wa kanisa la Filipi

Maelezo ya jumla

Kwa sababu Paulo anaandika baadaye katika barua akisema "mimi," linaleta maana kwamba Paulo ndiye mwandishi na kwamba Timotheo ndiye alikuwa pamoja naye. Na maneno yote ya "wewe" na "ninyi" katika barua hii yanaongelea wakristo wa kanisa la Filipi katika wingi wao. Na neno "yetu" pengine linamaanisha wakristo wote akiwemo Paulo, Timotheo na wakristo wa Filipi.

Paulo na Timotheo

kama lugha yako ina njia maalumu ya kutambulisha waandishi wa barua, itumie hapa.

Timotheo, watumishi wa Yesu

"Timotheo. Sisi ni watumishi wa Kristo Yesu"

Kwa wale walitengwa katika Kristo

"kwa waumini wote katika Kristo Yesu"

waangalizi na wahudumu

" wazee wa Kanisa"