sw_tn/num/14/09.md

288 B

Sentensi unganishi

Joshua na Kalebu wanaendelea kuongea na watu

Tutawateketeza kwa urahisi kama kula chakula

"Tutawatekeza kwa urahisi kama tuwezavyo kula chakula

Ulinzi wao utakuwa umeondolewa

"BWANA atawaondolea ulinzi wao"

Ulinzi wao

"Yeyote ambaye atajaribu kuwalinda"