sw_tn/num/13/32.md

510 B

wakasambaza taarifa ... waksema

Kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha wale wanaume walioipelelza nchi isipokuwa Kalebu na Joshua.

Ile nchi waliyoipeleleza

Neno "wa" linamaanishawanaume wote walioipeleleza nchi akiwemo Joshua na Kalebu

nchi inayowala watu wake

"ni nchi ya hatari sana" au ni nchi ambayo hao watu watatuua"

Anaki

Hili ni jina la mwanaume

tulionekana ... machoni pao

"katika maoni yetu"

tulionekana kama mapanzi machoni mwao

"tulikuwa wadogo kama mapanzi ukitulinganisha nao"