sw_tn/num/13/30.md

239 B

Kalebu

Kalebu alikuwa mmoja wa wapelelzi kumi na mbili ambao Musa aliwatumakuipelelza Kanaani.

tia moyo ... kutia moyo

Neno tia moyo au kutia moyo ni maneno ya kuwafariji na kuwahamasisha waendelee kufanya jambo fulani kwa ujasiri.