sw_tn/num/04/27.md

368 B

watakaoongoza

"kusimamia"

Huu ndio utumishi wa Wagerishoni ... hema ya kukutania

Neno "utumishi" ni nomino zahania ambayo inaweza kuelezekakwa kutumia kitenzi. na neno hili linamaanisha kile ambacho BWANA alikuwa amesema. "Hii ndiyo namna ya utumishi wa wana wa ukoo wa kizazi cha Wagerishoni ambavyo watatumika katika hema ya kukutnia"

Ithamari

Tazama 3:1