sw_tn/neh/12/08.md

389 B

Yeshua.....Binui.....Kadmieli.....Sherebia.....Yuda, .....Matania...Bakbukia.....Uno

Haya ni majina ya wanaume.

walisimama pembeni yao wakati wa huduma.

Inawezekana maana ni 1) hii ilikuwa wakati wa huduma ya ibada na hizi zilikuwa makundi mawili ya waimbaji (angalia UDB) au waabudu wengine, au 2) makundi haya walilinda hekalu kwa nyakati tofauti, au "kugeuka kuzingatia hekalu".