forked from WA-Catalog/sw_tn
710 B
710 B
Taarifa za jumla
Katika aya hizi, Nehemia anaweka majina ya makuhani waliosaini waraka uliofunikwa. (Tazama 10:1)
Hamshi
Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama kwa 3 8.
Shekania.......Meshulamu
Hizi ni majina ya wanaume. Tafsiri katika 9:3
Maluki......Obadia, Danieli, Ginethoni...Abiya, Miyamini, 8Maazia, Bilgai
Haya ni majina ya wanaume
Harimu
Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama kwa 3:11.
Meremothi
Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama kwa 3:3.
Baruki
Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama kwa 3:20
Shemaya
Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 3 :28.
Hawa walikuwa makuhani.
Hii inahusu orodha ya awali ya wanaume walio saini waraka. AT "Haya ndio majina ya makuhani waliosaini hati"