sw_tn/neh/09/18.md

309 B

Sentensi unganishi

Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.

wewe.... haukuwaacha

Bwana hakuwaacha Waisraeli.

kutupa ndama kutokana na chuma kilichochombwa

chuma kilichochomwa na kuumbwa kwa sura ya ndama

Nguzo ya wingu .... nguzo ya moto

Tafsiri katika 9:12.